![]() |
| Waliosimama katikati ni wajumbe walioteuliwa kusimaimia uchaguzi wa viongozi wa chama cha wapiga picha Mkoa wa Iringa. |
![]() |
| Thobias Kikulacho akiwashukuru wajumbe wa Chama cha wapiga Picha Iringa. |
![]() |
| Uongazi mpya uliochaguliwa kuongoza chama cha wapiga picha Mkoa wa Iringa kwa kipindi cha miaka mitatu (2013-2016). |
CHAMA cha wapiga picha Mkoa wa Iringa kimepata viongozi wapya watakaofanya
kazi kwa muda wa miaka mitatu (2013/2016).
Uchaguzi huo uliofanyika katika uwanja wa Manispaa Said Ng’amilo (mwenyekiti), Juma Kivambe (makamu
mwenyekiti, Thobias Kikula (Katibu), Juma Kivambe (Katibu Msaidizi) na Piusi
Agustino (Mhazini).
Wajumbe walimewataka viongozi waliochaguliwa kuwa makini na
kutotetereka wala kubabishwa na kitu na kuhakikisha chama kinasonga mbele kwa
maendeleo ya baadaye.
Hata hivyo akiongea mara baada ya kuchaguliwa katibu wa chama
hicho Thobias Kikula amesema wajumbe wanapaswa kuelewa thamani waliyowapa
viongozi wao na kuwa watakitumikia chama kwa misingi ya katiba.
Akiongea baada ya Uongozi mpya Uliwashukuru wajumbe kwakuwa na
imaninao na kuwataka wajumbe kuelewa dhamani walioitoa kwao itaheshimiwa kwa
kukitumikia chama kwa uaminifu na kujitolea mudawote kwa faida yetu.
Chama cha wapiga picha Mkoa wa Iringa kilianzishwa mwaka 2002 na
kusajiliwa na Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Septemba 12, 2007 kwa namba
BST, 3316.



No comments:
Post a Comment