masuguru

Tangazo la cheti

Tangazo la cheti
tangazo

KLERUU

KLERUU
KLERUU

CAPRICORN

CAPRICORN

Ibada

Ibada

Sunday, July 14, 2013

CHADEMA YASHINDA UCHAGUZI KATA 4 ARUSHA

Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema

TAARIFA zinazotufikia sasa ni kwamba cha cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi katika kata nne za Themi, Kimandolu, Elerai na Kalolei Arusha.

Uchaguzi ho umefanyika leo katika kata hizo baada ya kuahirishwa Juni 16, Mwaka huu baada ya kutokea kwa mlipuko wa bomu katika mkutano wa Chadema kuhitimisha kampeni.

Katika uchaguzi huo kulikuwa na ushindani mkali katika ya Chadema na chama cha Mapinduzi (CCM).


Wachambuzi wa siasa wanasema kutokana na ushindi wa Chadema unaweza kusaidia chama hicho kushinda katika kiti cha Umeya katika jiji hilo.

Jumla ya vyama vya siasa 5 vimeshiriki uchaguzi huo.

No comments:

Post a Comment