![]() |
Madereva wa mabasi na malori mjini Mogadishu na miji mengine wamekataa kufanya kazi hadi swala hilo limeshughulikiwa.
Kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, AMISOM, kimeingilia kati kujaribu kutatua mkwamo huo.
Msemaji wa polisi ameiambia BBC kwamba wanachunguza malalamiko hayo lakini hawana habari kwamba askari polisi wanadai hongo.
Chanzo: bbc swahili

No comments:
Post a Comment