masuguru

Tangazo la cheti

Tangazo la cheti
tangazo

KLERUU

KLERUU
KLERUU

CAPRICORN

CAPRICORN

Ibada

Ibada

Saturday, April 13, 2013

WAJENZI WA BARABARA WANATAKIWA KUWA NA SIFA ZIPI?


Barabara hii haijamaliza hata miaka 2 tangu kujengwa.


Hii ni barabara ambayo hata miaka 2 haijapita tangu itengenezwe lakini iko katika hali hii.

Hii ni barabara inayoanzia Kihesa sokoni kuelekea Chuo Kikuu cha Tumaini ambayo haijafunga hata miaka miwili tangu ilipotengenezwa.

Kuna haja ya kupitia upya sifa za makandarasi wetu wanaopewa kazi hizo ili kuepukana na matatizo kama haya.

Pia nafikiri kuna haja ya makandarasi wetu kujifunza kwa wenzetu waliobobea katika masuala ya ujenzi wa barabara ili kuepusha matumizi mengi ya ujenzi wa barabara usio wa lazima kwa kuwa baada ya muda mfupi zinakuwa zimebomoka.

Hivi sasa karibu barabara zote za Manispaa ya Iringa hazitamaniki kutokana na kuharibika vibaya. 

No comments:

Post a Comment