Jeshi la Sudan limesema watato wawili
wameuawa kufuatia mashambulio mapya ya mabomu yaliyotekelezwa na waasi katika
mji mkuu wa jimbo la Kordofan ya Kusini.
Msemaji wa jeshi la nchini hiyo amesema kuwa raia
wanane walijeruhiwa wakati wa shambulio hilo
mjini Kadugli.
Kundi la waasi wa SPLM-North nchini Sudan limesema lilikuwa likijibu mashambulio ya
siku kadhaa yaliyotekelezwa dhidi yao
na wanajeshi wa serikali
Source: BBC Swahili

No comments:
Post a Comment