masuguru

Tangazo la cheti

Tangazo la cheti
tangazo

KLERUU

KLERUU
KLERUU

CAPRICORN

CAPRICORN

Ibada

Ibada

Saturday, June 2, 2012

Parokia ya Kihesa Jimbo la Iringa yapata Msiba > Paroko afariki > Waamini wachanganyikiwa > Kilio jimbo zima

Hayati Padre Gervas Mwogofi Paroko wa Parokia ya Kihesa aliyeaga dunia. Mazishi yalifanyika 31 Mei, 2012 Tosamaganga
Jeneza la Marehemu Pd. Mwogofi likiwa ndani ya Kanisa Kuu Kihesa wakatyi wa Ibada ya Misa Takatifu
Mhashamu Baba Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa akiweka shada katika kaburi la hayati Pd. Mwogofi baada ya kuzikwa.
Mhashamu Baba Askofu Alfred Maluma wa Jimbo la Njombe akiweka shada baada ya kuzikwa Pd. Mwogofi
Hapa ni Kanisa la Tosamaganga baada ya Misa watu wakitoka kuelekea makaburini
Makamu wa askofu Pd. Aloyce Mdemu na Pd. Joseph Misunza wakitoa heshima wakati wa kuzika
Astarehe kwa amani Pd. Gervas Mwogofi.

No comments:

Post a Comment