TANGAZO
watu wote mnakaribishwa kaika Kongamano la Ekaristi Takatifu litakalofanyika kitaifa jimboni Iringa kuanzia Tarehe 07.06. hadi 10.06.2012.
Maaskofu mbalimbali wna wageni mbalimbali, madhehebu ya kidini na viongozi mbalimbali wa Serikali watakuwepo.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana nao kupitia barua pepe: kongaekaristi@gmail.com
Usomapo tangazo hili muarifu na mwenzako.
No comments:
Post a Comment