masuguru

Tangazo la cheti

Tangazo la cheti
tangazo

KLERUU

KLERUU
KLERUU

CAPRICORN

CAPRICORN

Ibada

Ibada

Monday, March 17, 2014

CCM YAONGOZA MATOKEO YA AWALI KALENGA





KATIKA uchaguzi wa ubunge uliofanyika jana katika Jimbo la Kalenga Mkoa wa Iringa Chama cha Mapinduzi (CCM) kinaongoza katika matokeo ya awali.

Katika matokeo yanayotarajiwa kutangazwa leo katika ofisi za Siasa ni Kilimo, hadi sasa vituo ambavyo matokeo yametufikia ni kama ifuatavyo:

CCM             CHADEMA             CHAUSTA
3946                 1279                            16

Matokeo hayo ni ya vituo 37 kati ya vituo 200 vilivyotumika kupigia kura.

Matoke ya ushindi yanatarajiwa kutangazwa leo baada ya kumaliza kukusanya matokeo ya vituo vyote.

No comments:

Post a Comment