| Gari lililobeba Msalaba Mtakatifu kwenye maandamano yaliyoanzia katika Kanisa la Mikira Maria Consolata Parokia ya Mshindo kuelekea viwanja vya Kichangani ambapo Misa Takatifu inaadhimishwa kijimbo. |
| Waamini mbalimbali wakiwa kwenye maandamano. |
| Mhashamu askofu Tarcisius Ngalalekumtwa anapokea Msalaba kwa ajili ya maandalizi ya Misa Takatifu. |
No comments:
Post a Comment