| Selemani Mbuma mfanyakazi wa TANESCO akiendelea kuungua juu ya nguzo baada ya umeme kuwashwa akiwa katika matengenezo ya umeme katika moja ya transfoma. |
Selemani Mbuma mfanyakazi wa shirika la umeme TANESCO Mkoa wa Iringa akiwa amepata ajali wakati akiwa katika marekebisho ya transfoma.
Ajali hiyo iliotokea jana katika maeneo ya Mlandege ndani ya Manispaa ya Iringa baada ya umeme kuwashwa wakati akiendelea na marekebisho hayo.
Mbuma alijeruhiwa vibaya wakati juhudi
za mafundi wenzake na wananchi waliosogea katika tukio hilo
kumuokoa zikifanyika huku moto ukiendelea kuunguza nguo na mwili kwa
ujumla.
Kwa mujibu wa wafanyakazi hao, tukiohilo hilo lilitokana na uzembe wa mafundi wenzake kwa kuwasha umemu
wakati mategenezo hayajakamilika.
No comments:
Post a Comment