masuguru

Tangazo la cheti

Tangazo la cheti
tangazo

KLERUU

KLERUU
KLERUU

CAPRICORN

CAPRICORN

Ibada

Ibada

Tuesday, September 4, 2012

Mwandishi wa habari wa Channel Ten Daud Mwangosi azikwa kijijini kwake Itete, Tukuyu - Mbeya

Maelfu ya wananchi wakihudhuria mazishi ya Daud Mwangosi


Waziri ofisi ya Rais na Mbunge wa Rungwe Mashariki Mark Mwandosya akitoa salam kwa niaba ya serikali

Wanchi mbalimbali wakiwa msibani

Waandishi wa habari wa Mkoa wa Iringa wenye fulana nyeupe wakiwa makaburini

Rais wa umoja wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania Keneth Simbaya aliyevaa fulana nyeupe wakizungumza na wenzake juu ya msiba huu

Rais wa umoja wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania Keneth Simbaya pamoja na waandishi wa habari wamebeba jeneza kupeleka kaburini



Jeneza linashushwa kwenye kaburi

Kaburi linafukiwa

Mke wa marehemu Daudi Mwangosi akiwa amelala juu ya kaburi la mumewe akilia kwa uchungu

Dk. Slaa akiweka shada juu ya kaburi la marehemu Mwangosi

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dk. Willibrod Slaa akitoa heshima ya mwisho

Mh. Mark Mwandosya na mkewe wakiweka shada juu ya kaburi

Waandishi wa habari wakipiga picha
Mke wa marehemu Daud Mwangosi katika machungu yake

Baadhi ya wananchi walioshiriki kumzika Mwandishi wa Habari wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten Daud Mwangosi

Katibu msaidizi wa chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Iringa Francis Godwin akitoa maelezo juu ya mauti ya Mwangosi yalivyomkuta

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Willibrod Slaa akieleza juu ya kifo cha Mwangosi

No comments:

Post a Comment